Loading...

Rambirambi - Leaders Forum

DARUSO

Mchango wa Rambirambi kwa Mr. Ben

Mwenzetu Mr. Ben amefiwa na Mama yake Mzazi. Kama ilivyo jadi yetu kusaidiana, unaombwa kutoa rambirambi kwa utakavyojaliwa. Tuma mchango walo kwa namba hii:
+255 713 381 949 - Irene Ishengoma

Baada ya kutuma jaza taarifa za muamala wako hapo chini na Updates zitatokea mda huohuo.

Note: Malipo yatakuwa na Status ya "Pending Approval". Pale mkusanyaji atakapothibitisha/atakapoona muamala wako, utaona Status ya "Approved".
Asante sana kwa ushirikiano wako na moyo wa kutoa. Ubarikiwe.

* Indicates required fields

Asante Sana kwa Mchango, Ubarikiwe sana, Mungu Akuongezee, Wabheja Sana
No. Name Phone No. Amount Muamala Message Status